Women Matters: KWANINI Mwanamke kutoridhishwa na Mwenzi wake kwenye TENDO la NDOA ni KUJITAKIA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • PART FIVE
    Hapa panaweza kukuumiza kichwa! Lakini inabidi tu ufuatilie kutokana na uzito wake. Tatizo la wanawake kutoridhishwa na wenzi wao katika tendo la ndoa.. Shida iko kwa nani? Mwanamke au Mwanaume?

Комментарии • 354

  • @lailatyabdallah1723
    @lailatyabdallah1723 5 лет назад +138

    Anayeangalia kwa Mara ya pili Kama Mimi tujuane😍 Yani mambo konki mpka Cha ku comment Sina😂

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 5 лет назад +32

    Labda niwasaidie kitu kimoja....ni kwamba mwanamke akiwa na mwanaume huwa anakuwa na mawazo au vitu anavyofikiria na kujikuta wanakuwa waoga....wa tendo ilo hasa mwanaume unatakiwa kumuandaa kwa story kwanza ili kuanza kumtoa ule uwoga au wazo ambalo analoliwaza kwake......
    Na kujikuta mwanamke mwenyewe anakuwa analainika hata bado ajavua nguo...nenda naye taratibu na kumvua nguo uku ile hali asiwe na hofu.....
    Romantic ni nyingi hadi mwanamke anakuwa tiari ameandaliwa mwisho wa siku ufika kilele na kujikuta mnashirikiana ktk tendo sio mmoja anajituma mwingine ajitumi

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 5 лет назад +9

    Aaaaah naanzaj kuangalia womens matter najifunz mengi kupitia hiki kipind i love dis

  • @RothgoldAvenue
    @RothgoldAvenue 5 лет назад +8

    This is a nice content bringing professional people to talk about real problems especially psychological problems in the society. Kudos

  • @pelonsabuhoro3080
    @pelonsabuhoro3080 5 лет назад +5

    nimekosa mengi toka kwa dR. ELIE kwa sababu mnaingilia kati bila kusubili amalize. peaneni nafasi tujifunze wote.

    • @petronhungu2516
      @petronhungu2516 3 месяца назад

      Huyu ni Lilian ndo anaingilia sana. 😁😁😁

  • @magerebudodi8471
    @magerebudodi8471 5 лет назад +2

    Wanake wanachotakiwa kujua , mwanaume anaweza kumudu mda mrefu kama mwanamke atakuwa tayari kuenjoy , pia uke wa mwanamke unatakiwa kuwa na oil ya kutosha ili kumfanya mwaume kumudu tendo ole wake mwanaume aingize mashine kwa mwanamke uke ukiwa aujaloa oil my friend kumaliza ata sekunde ni inshu inashauliwa unapokuwa na mwanamke kwa kitanda ebu tufanye wote michezo ya kuchezeana nywele ili kila mtu awe tayari na sisi wanaume hatutakiwi kuwa na mahalaka mpaka mwanamke akuambie sasa baba nani nimeshindwa ingiza mashine ndio ingiza, ukingiza tu na mahalaka yako ni dakika tano tu umemaliza.

  • @elvistemba6803
    @elvistemba6803 5 лет назад +6

    Ila kweli aaiiissee... Wanaume tunapenda wanawake vichaa kitandani...

  • @benobuyoya8675
    @benobuyoya8675 5 лет назад +6

    Huyu Dr. Eli in no .1 e.Africa ,shida ni wanaomuhoji ovyoooo!!!!!

  • @niffernurdin2586
    @niffernurdin2586 5 лет назад +26

    Kipindi kizuri sana 🔥🔥ila wanakera hawamuachi Dr Ellie akamaliza kuongea kila wakati wanaingilia 😈 wacheni mtu amalize point yake ndio muongeze hayo yenu 😠😠tunakosa kujua vingi kwa hashuo zenu hzo

    • @timotheoelias1857
      @timotheoelias1857 5 лет назад +1

      Niffer Nurdin kama ww najua unaelewa hiii

    • @faaali244
      @faaali244 5 лет назад

      Umewaona kama wana hashuo au ndio kisa wanawake wenzio ndio nyie mnashobokea wanaume

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 4 года назад

      tatizo la wanawake wa kitanzania wanapenda kufanyiwa kilakitu na ndyo maana wanashindwa kujifanyia mwenyewe

  • @faridamussa965
    @faridamussa965 5 лет назад +7

    Nimewaelewa sana kwakweli duuh....Lilian thanks for this

  • @jackneymangwashisamson1780
    @jackneymangwashisamson1780 5 лет назад +9

    Much Respect kwenu I really enjoyed the show especially Dr Ellie you made my day

  • @marionsteven8198
    @marionsteven8198 5 лет назад +18

    Tunao boreka na tangazo la NETFIX tujuane hapa...😄

  • @kisiahkish4813
    @kisiahkish4813 5 лет назад +10

    Jameni, give Dr Eric a chance. His talks are very beneficial

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 5 лет назад +1

      Very True 😍

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад +1

      @@kweka14l35 very very!

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 5 лет назад +1

      @@mnzavachris5423 😍😍😍😍

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 5 лет назад +1

      @@kweka14l35co kwa makopa hayo, mwenzio hoi!

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 5 лет назад

      @@mnzavachris5423 hahahaha ushaanza wewe 😆😆😆😆

  • @ms_caramel2688
    @ms_caramel2688 4 года назад +1

    Bt Lily has a point...they should answer her question instead of kuipinga !

  • @drpriscaantony7825
    @drpriscaantony7825 8 месяцев назад +2

    Dah madam lily jifunze kusikiliza jmn❤

  • @anitaprecious7550
    @anitaprecious7550 5 лет назад +13

    Great show 👏👏👏👏 watching from kenya

  • @jovinishengoma8060
    @jovinishengoma8060 5 лет назад +2

    Ufahamu wangu umefunguka zaidi... Much love for that 😊

  • @tresorlusolo8916
    @tresorlusolo8916 5 лет назад +3

    Docter ww kiboko... Nakukubali Sana nakupata vyema toka usa.... 😁😁😁😁👍

  • @sir.lulenje4827
    @sir.lulenje4827 5 лет назад +4

    From 255... Usivojali ADUI uadui unakufa.. Thanx Dr.

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 лет назад +5

    Fact 👌🏾thank you Dr Ellie 😍nime jifunza mengi kwa kweli thank you guys.Well done SnS the best show ever I love it 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 5 лет назад +1

    Thanks for good shoow, Big thaks for Dr. Eliu Aminiani, leo nimemuelewa sana, elimu ya kutosha....
    Dr.. his sinior alway.... Nimekuwa nimemfuatilia sana... Mara nyingi sana...

  • @kakuluvicent5953
    @kakuluvicent5953 5 лет назад +10

    Sns mnatisha nawaona mbali big up sana sky

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 5 лет назад +13

    Sns mtaniuwa na muda! Mara women matters, Mara smart talk, Mara Dr. Chachu, Mara black chair, Mara round up🙊🙊👍👍👍👍🤗🤗🤗🤗💪💪💪🤔🤔🤔😍😍😍🤣🤣🤣🤣

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 лет назад +6

    New tanzania 🇹🇿 love you all incredible 💕

    • @HASASON
      @HASASON 5 лет назад

      It's not new it's that you didn't know

  • @suedissa7500
    @suedissa7500 5 лет назад +2

    Shubaamit, safii sana psychologists, saidia watu kama hao

  • @mbonimpamamy7141
    @mbonimpamamy7141 5 лет назад +12

    kipindi ni 🔥🔥🔥nakipenda sana 😍sijawahi kukosa hata siku moja ,tnx sns mzidi kutuleteya

  • @jennybaino6535
    @jennybaino6535 4 года назад

    Asanteni kwa kutuelimisha lakini mnanihudhi kitu kimoja Tumia lugha moja Kiswahili au Kingereza msidhani wote wanaelewa kingereza kwangu Mimi na waelewa. Nyie ni watu mnaotoa elimu basi tumieni Kiswahili.

  • @abuubakrachani1943
    @abuubakrachani1943 5 лет назад +6

    Kupata mda n kuskilz sns kipindi hiki ni bora kuliko kutumia mda kwa mambo maovu n yaliyokatwaza kidin na kijamii

  • @marthaallen1164
    @marthaallen1164 5 лет назад +4

    Nimwitee nani aje apate madini hayaa sijui ni madin gan maaana ni zaid ya dhahabuu dr elie nimekuelewaaaa 🌹🌹🥰🥰🥰🥰
    Lily unakelele mpenz punguzaa basii maaana 🏃🏃🏃🏃

  • @Hhh-yg7jy
    @Hhh-yg7jy 5 лет назад +4

    Daaaah... Yan we dada unakera kichizi... Acha wataalamu waongee...

  • @hussenhussein8622
    @hussenhussein8622 5 лет назад +11

    Hawampi nafasi Dr wanaongea sana hao kuliko dr

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard8106 5 лет назад +5

    Wote nawapenda apo aunt sadaka..mauki na Davie

  • @tulakonzo
    @tulakonzo 5 лет назад +4

    Shikamoo Dr Elly

  • @Ingabirechanny
    @Ingabirechanny 5 лет назад +4

    I love this program women matters l believe this program will save many marriages were learning a lot

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад +1

    ahaaa nimeelewa kweli.
    tujiandae. tendo litanoga.
    yaani ujijengee hisia za tendo kabla mwanaume hajaongezea.
    kweli kabisa ukijiandaa kihisia mwanamke kisha mwanaume ataongezea. tendomlazima.litanoga

    • @bongetpinto2742
      @bongetpinto2742 4 года назад

      haswaa hapo ndio kila kitu, shida iliopo ni kwamba wengi wanaingia kwenye mechi wakiwa wamejaza migogoro kichwani, amejaza kumbukumbu mbaya za huyo mwenza wake, amekuja bila hisia kabisa halafu anategemea ndani ya hizo dakika 30 mwenza aweze kuvifuta hivyo vyoote halafu uanze kazi ya kumtengenezea hisia hadi amalize mechi kwa ushindi. wakati inatakiwa akija awe anawaza mechi nzuri yenye vionjo vyote vitamu na akivaa uhusika mkuu wa mpambano huku akipiga danadana kama zote, hapo lazima ndani ya dakika chache ushindi uwe umepatikana na kuendelea kupatikana mfululizo

  • @agnesspetro6695
    @agnesspetro6695 3 года назад +3

    Uyo Lili anakera! Si atulie yupo kama ngedere

  • @petronhungu2516
    @petronhungu2516 3 месяца назад

    Aaahahahhahhaahh aiseee nimecheeeeeeka mno, nimegundua Lilian angeolewa na Mauki,angekuwa anapigwa makofi kila siku.
    We thank God haipo hivyo.

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 2 года назад

    Aaaaaaa shukran mumenifunguwa macho mimi mwenyewe ndio majukumu kujifurahisha nimekubaliana na nyinyi .

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 5 лет назад +8

    I love sister lily coz is so real,

  • @barnabachuwa794
    @barnabachuwa794 5 лет назад +2

    Dr elly... atari sana.

  • @josephjames857
    @josephjames857 5 лет назад +2

    Asante sana aunt sadala, umeusoma mchezo

  • @dennislihepa2247
    @dennislihepa2247 26 дней назад

    Hao wanaangalia sana picha za ngono zinawapotosha

  • @ordotempliorientis8211
    @ordotempliorientis8211 5 лет назад +2

    I dint know Tanzanians can speak English ....am humbled .....nice talk show....

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 5 лет назад +12

    Mpeane nafasi kila mmoja achangie ili show ilete mvuto zaidi

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 5 лет назад +4

    Mm nimekutana kijana mmoja hv yaan ni anapesa,lakn hajiwez masikin ila ukimwangalia kwa nje bonge la hamsam ilikua ni uchumba tu na alikua ananipenda kweli ila nikaona apa ndoa itakua haiendi nimeona nijikaze tu nimsahau japo ngum ila bora nisahau tuu

  • @siwazabron8198
    @siwazabron8198 5 лет назад +5

    hhhhhh,nawaelewa sana na huyo docta rafziyake ya maneno yanifurahisha but namwelewa sana nn anamaanisha

  • @harunkassm1689
    @harunkassm1689 5 лет назад +1

    Nilichogundua kw haraka wanawake %kubwa hawajitayarishi kihisia ktk kufika kileleni wao wenyewe wanachojua no mwaname ndo mwenye wajibu huo na wkt mwingine hufanya kumridhisha mwenza hajakuwa tayari kw hilo

  • @saumuathuman206
    @saumuathuman206 5 лет назад +2

    hahaha najifunza pia mimi nikamfanyie mume wangu mtarajiwa 😃😃😃thanx bby sky

  • @mariaalsaid3690
    @mariaalsaid3690 4 года назад +1

    This is sooooooo amaaaaaaazing discuuuuuuuuuusion

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад +3

    Dr. MAUKI, you killing me 🤣🤣🤣🤣

  • @grantsumaye8139
    @grantsumaye8139 5 лет назад +4

    Lilia bwanaaaaaa! Usiharibu shoo.

  • @doricekaizirege8153
    @doricekaizirege8153 5 лет назад +4

    Doctor Elly anaongea vizuri sana sana uwiiii

  • @felisterkamara4590
    @felisterkamara4590 5 лет назад +2

    Am officially a follower of this channel

  • @ngolokagrace2666
    @ngolokagrace2666 5 лет назад +1

    Daaah kla cku najifunza uuuwiiiiii yuo guys nmejfunza nmecheka daah asanteeen bas ngoja tukalaneeeeeew

  • @sharonndowo6922
    @sharonndowo6922 5 лет назад +6

    Uwiii lily jamani ananyamazaa akiibuka na swali utapendaaaa

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 5 лет назад +1

    thank you am learning dear lilly be blessed

  • @phinerywizkclassic941
    @phinerywizkclassic941 5 лет назад +7

    Kifupiii ata Mimi nilikuwaa si enjoy lakin nilipopata MUME MWINGINE na enjoy mapenziii

    • @LifeTv64
      @LifeTv64 5 лет назад

      Phinerywizk Classic 😂😂😂

  • @suzanampanda6242
    @suzanampanda6242 5 лет назад +4

    Nice vichwa vitatu navikubali sana💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻

  • @kwilabyalulyehohenry260
    @kwilabyalulyehohenry260 5 лет назад

    Nashukuru kwa somo jamani mungu awabariki. Kuanzia sasa daah nitaenjoy saana. Nimeelewa saana

  • @promessek.m4433
    @promessek.m4433 5 лет назад +19

    Wanao twanga mahindi acheni likes apa 😂😂😂😂 niwajuwe

  • @RosePatrick-vh2or
    @RosePatrick-vh2or 10 месяцев назад

    Ok thanks

  • @dr.mialanotanganyika4401
    @dr.mialanotanganyika4401 5 лет назад

    Very interesting and powerful topic

  • @Juddy1017
    @Juddy1017 5 лет назад +1

    Nice show , I really enjoyed, and I have learned a lot

  • @petronhungu2516
    @petronhungu2516 3 месяца назад

    Mauki bhana una hatari mno aiseee,eti sio ku knock tu maana yake inaweza hata kuungua hii,
    😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka mno aiseee.

  • @rshabani1754
    @rshabani1754 5 лет назад +17

    Anti sadaka ni MTU mzima anaelewa sn

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 5 лет назад +5

    Yaan kipindi kipo moto hatar da! Acha nitafute ela nipendeze ili nipendwe upo # MVP

  • @fatimaalnaqbi3470
    @fatimaalnaqbi3470 Год назад +1

    Nimejifunza sanaaa😊

  • @dorispatricks9247
    @dorispatricks9247 5 лет назад +1

    Thank you

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 5 лет назад +7

    Dr.Eli anavyoongea mm hooi, tchaaai. where did learn to talk like that jmn.lol

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 4 года назад

      Amesoma na kuishi na kufanya kazi marekani muda mrefu

  • @japhetmedicscare2181
    @japhetmedicscare2181 5 лет назад +18

    kikubwa mpeane nafas na mda wa kuzungumza ili kipndi hiki kzur kiwe na tija

  • @michaelmsangi7491
    @michaelmsangi7491 5 лет назад +2

    Show ya kitaalaam saaaana i love it

  • @ReginaJoseph-w8p
    @ReginaJoseph-w8p Год назад

    Nawapenda sna

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 5 лет назад +5

    dah uyo baba yuko vizuri

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 5 лет назад

      The MVP
      Nambie bro.. PATAMU HAPO.. mpaka dr anatoa maneno konki...😂😂😂

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 5 лет назад +2

    Mama mbn umekazia sana hapo kwenye msuguano

  • @benardsiyumwe5571
    @benardsiyumwe5571 5 лет назад

    Fantastic sjafika mwisho lkn nimekipendaaaa . .good work sky

  • @fakimakamefaki16
    @fakimakamefaki16 5 лет назад +1

    Binti yupo vizuri mimi nimeelewa

  • @dennislihepa2247
    @dennislihepa2247 25 дней назад

    Huyo kuelewa ngumu kwa kuwa historia yake iangaliwe kwanza ameishije

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 5 лет назад +1

    @lilian jeremia mambo ni mengi

  • @monicasamba2557
    @monicasamba2557 Год назад

    Aunt Sadaka🔥🔥🔥🔥🔥

  • @azizawalupupu2673
    @azizawalupupu2673 5 лет назад +2

    Love Dr ele is my best

  • @arusharuu2674
    @arusharuu2674 3 года назад

    Nice show watching from Kenya

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 5 лет назад +3

    nimemtumia hii video haraka sana mke wangu ili apate madini haya ambayo mmevumbua na hayapatikani popote dunian tofaut na hapa SnS

  • @geofreyjohnn4267
    @geofreyjohnn4267 5 лет назад +2

    Doctor nimeipenda concept yako

  • @abduldandy3077
    @abduldandy3077 5 лет назад +5

    huyo mzee baba,anaelezea vzur

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 5 лет назад +1

    Dr Elly ni🔥🔥

  • @ismailinguhwe3473
    @ismailinguhwe3473 10 месяцев назад

    Ongeeni kiswahili ili maadhui yafike Sawa Sawa,kipindi chenu kimebeba upatanisho.

  • @elvistemba6803
    @elvistemba6803 5 лет назад

    Nimekuelewa sana Dr.Elli....Hy concept ya mwanamke kujihudumia nimeipenda .....

  • @joachimlema
    @joachimlema 10 месяцев назад

    Hapo kweny kikao wanataka kuonyesha kwamba wanajua wakati hawajui zaid wanaharibu mzee amenyamaza baada kuona kelele

  • @innocenttemu9177
    @innocenttemu9177 4 года назад

    hamsikilizani ndiyo shida aongee mmoja mmoja bac

  • @taicollegetz
    @taicollegetz 5 лет назад +2

    Big up sns.. Dr Eli, mauki nawaelewa Sana.. Hahaha eti tulane

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 4 года назад +1

    Women are different bro... Halima sio Grace kila mmoja ana vibes zake uskariri... Msome manz nn anapenda then mchezeshe.

  • @neemakeenja3385
    @neemakeenja3385 3 месяца назад

    Lily 😢

  • @hadijaathumani9260
    @hadijaathumani9260 4 года назад

    Watu wengi hawajui kiigereza kwahiyo hapo wanawaelimisha wazungu au watanzania waoongea lugha ya kiswahili mnakera

  • @ashuus946
    @ashuus946 5 лет назад

    Mmemaliza kila kitu asanteni sana

  • @tracealbogast3789
    @tracealbogast3789 2 года назад

    Lily anaingilia maongezi sana

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 5 лет назад +6

    women matters ongereni ila sijamuona @babysky, nime mis lile cheko

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 4 года назад

    Nawatakia maisha marefu yani nafurah sana😁😁😁😁😁😁

  • @enmanuelljohn4288
    @enmanuelljohn4288 5 лет назад +2

    Huhuhuuuuu am in lv with dc kipindi aku

  • @babycharles6968
    @babycharles6968 5 лет назад +7

    Dada unaonekana unapenda urembo wa njanoo😂😂

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 года назад

    Show nzuri sana